Home > Terms > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Частина мови: proper noun
  • Синонім(и):
  • Blossary:
  • Галузь/тема: Culture
  • Category: People
  • Company:
  • Виріб:
  • Акронім-Скорочення:
Додати до мого глосарію

Що ви хочете сказати?

Ви маєте виконати вхід для участі в обговоренні.

Terms in the News

Featured Terms

ogongo3
  • 0

    Terms

  • 0

    Глосарії

  • 3

    Followers

Галузь/тема: People Category: Musicians

Michael Jackson (almasi, Watu, wanamuziki)

Zilizonakiliwa aina ya Pop, Michael Joseph Jackson (29 Agosti 1958 - 25 Juni 2009) alikuwa msanii wa muziki wa Marekani sherehe, mchezaji, na ...

Учасник

Featured blossaries

Robin Williams

Категорія: Entertainment   2 8 Terms

Factors affecting the Securities Market

Категорія: Business   1 8 Terms